top of page

BRP-Kenya

 

BRP-Kenya fue fundado en Diciembre de 2019 en la ciudad de Kakamega, Kenya, dirigido por Hildah Nyongesa y su dedicado equipo. Su equipo trabaja sin parar para asegurarse que las jovenes niñas en Kenya tengan acceso a desarrollo de liderazgo para que puedan mantenerse a ellas mismas y a sus pueblos. En la foto de abajo esta nuestra primer clase de BRP Scholsr 2020 y la segunda clase de 2021, dieciseis jovenes niñas de 4-7 grado. Para mas informacion sobre BRP-Kenya, puede mandar un email a hildah@boardroomrproject.org 

Mradi wa Kamati - Kenya (BRP-Kenya) ulibuniwa mwaka wa 2019 Disemba katika jiji la Kakamega, nchini Kenya ukiongozwa na Hildah Nyongesa Mwenyekiti wa Kamati pamoja na tume yake. Wanawake hawa wamefanya juhudi nyingi kuhakikisha kuwa wasichana wadogo nchini Kenya wanaafikia uongozi endelevu, kujithamini, kupata vifaa vya hedhi na masomo ili kujimudu pamoja na jamii zao. Picha ifuatayo ni ya maelezo ya mradi wa kwanza wa Kamati ya kikundi cha Usomi 2020, wasichana kumi na sita kuanzia gredi ya 4-7.    Kwa maelezo zaidi kuhusu Mradi wa Kamati- Kenya tafadhali tutumie barua pepe: Hildah@boardroomproject.org

bottom of page